Friday, May 4, 2012

 
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wanahabari wakati wa kutangaza Baraza la Mawaziri leo Aprili 4, 2012.
Rais Jakaya Kikwete hivi punde ametangaza Baraza jipya la Mawaziri likiwa na sura mpya wakati baadhi ya Mawaziri wakibaki katika nafasi zao. Ifuatayo ni orodha ya Mawaziri hao walioteuliwa pamoja na Manaibu Waziri.…


MAWAZIRI
1.  
OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, 
(Utawala Bora)Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (
UTUMISHI)Ndugu Celina Kombani, Mb.,

2.         OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)Ndugu Samia H.  Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (
MAZINGIRA)Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,

3.            
OFISI  YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (
TAMISEMI)Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (
Sera, Uratibu na Bunge)Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,

4.            
WIZARA 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika MasharikiNdugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr.  John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii 
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na WatotoNdugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa KimataifaNdugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
 Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiNdugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
 Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof.  Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
 Prof.  Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji 
Prof. Jumanne Maghembe,  Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara MaalumProf. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
 Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
Waziri wa Maliasili na Utalii Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
Waziri wa Viwanda na Biashara
 Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
Waziri wa Fedha 
Dr. William Mgimwa, Mb.,
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,

5.          NAIBU MAWAZIRI

 OFISI YA RAIS

HAKUNA NAIBU WAZIRI

6.
           OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa RaisNdugu Charles Kitwanga, Mb.,

7.            OFISI YA WAZIRI MKUU
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (
TAMISEMI)Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,

8.          WIZARA MBALIMBALI
Naibu Waziri wa Kazi na AjiraDr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na UshirikaNdugu Adam Malima, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiNdugu Pereira A. Silima, Mb.,
Naibu Waziri wa Viwanda na BiasharaNdugu Gregory G. Teu, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na UvuviNdugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa KimataifaNdugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo  ya Makazi,Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
 Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
 Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
 Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
Naibu Waziri wa Maliasili na UtaliiNdugu Lazaro Nyalandu
, Mb.,
Naibu Waziri wa UjenziNdugu Gerson Lwenge, Mb.,
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
Naibu Waziri wa Nishati na MadiniNdugu George Simbachawene, Mb.,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba, Mb.,
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na MichezoNdugu Amos Makala, Mb.,
Naibu Waziri wa Maji 
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,
Naibu Waziri Nishati na Madini Ndugu Stephen Maselle, Mb.,
Naibu Waziri wa Katiba na SheriaNdugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,
Naibu Waziri wa FedhaNdugu Janet Mbene, Mb.,
Naibu Waziri wa FedhaNdugu Saada Mkuya Salum, Mb.,
MAWAZIRI
1.  
OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, 
(Utawala Bora)Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (
UTUMISHI)Ndugu Celina Kombani, Mb.,

2.         
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)Ndugu Samia H.  Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (
MAZINGIRA)Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,

3.            
OFISI  YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (
TAMISEMI)Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (
Sera, Uratibu na Bunge)Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,

4.            
WIZARA 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika MasharikiNdugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr.  John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii 
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na WatotoNdugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa KimataifaNdugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
 Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiNdugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
 Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof.  Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
 Prof.  Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji 
Prof. Jumanne Maghembe,  Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara MaalumProf. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
 Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
Waziri wa Maliasili na Utalii Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
Waziri wa Viwanda na Biashara
 Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
Waziri wa Fedha 
Dr. William Mgimwa, Mb.,
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,

5.          
NAIBU MAWAZIRI

 OFISI YA RAIS

HAKUNA NAIBU WAZIRI

6.
           OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa RaisNdugu Charles Kitwanga, Mb.,

7.            OFISI YA WAZIRI MKUU
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (
TAMISEMI)Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,

8.          WIZARA MBALIMBALI
Naibu Waziri wa Kazi na AjiraDr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na UshirikaNdugu Adam Malima, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiNdugu Pereira A. Silima, Mb.,
Naibu Waziri wa Viwanda na BiasharaNdugu Gregory G. Teu, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na UvuviNdugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa KimataifaNdugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo  ya Makazi,Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
 Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
 Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
 Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
Naibu Waziri wa Maliasili na UtaliiNdugu Lazaro Nyalandu
, Mb.,
Naibu Waziri wa UjenziNdugu Gerson Lwenge, Mb.,
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
Naibu Waziri wa Nishati na MadiniNdugu George Simbachawene, Mb.,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba, Mb.,
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na MichezoNdugu Amos Makala, Mb.,
Naibu Waziri wa Maji 
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,
Naibu Waziri Nishati na Madini Ndugu Stephen Maselle, Mb.,
Naibu Waziri wa Katiba na SheriaNdugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,
Naibu Waziri wa FedhaNdugu Janet Mbene, Mb.,
Naibu Waziri wa FedhaNdugu Saada Mkuya Salum, Mb.,


No comments:

Post a Comment